Wasanii wanaoongoza kudiss wenzao
Kwa mtazamo wangu. 1.Wanaodiss direct. 1.Ney wa mitego....kamdiss chidi,zay b,rap,east coast,madee,chidi Benz,zitto etc 2.lady Jay D,.....kadiss clouds,mwana fa,G Habash etc 3.Afande Sele,...huyu...
View ArticleKORA 2016: Wapigie Kura Wanamuziki wa Kitanzania
View attachment 321328 Ndugu wanaJF, Zile tuzo kubwa kuliko zote Barani Afrika zimewadia. Msimu wa Mavuno kwa wasanii wa muziki kutoka pande mbali mbali za Afrika umebisha hodi. Ni KORA-All Africa...
View ArticleTangazo la voda Vs Lupela Audio & video
Aseee hii ni aibu au nini.... Yaani Tangazo la Vodacom lililofanywa na Simba ni maarufu kushinda nyimbo ya Askari wa wanyama pori... Najua watu wengi hawaijui hiyo nyimbo ila lengo langu ni kwamba watu...
View ArticleAlikiba awakutanisha mahasimu
Jana ktk uzinduzi wa ngoma yake Lupela walikuwepo Mwanafa, Jide na Gadna sasa sijui walisalimiana au laa, lakini kwenye picha it shows Jide hakufurahi maana hakutabasamu kama wengine na binamu nae...
View ArticleDiamond platnumz, baba ni baba tu, rudi kwa baba yako.
Nimeona interview ya clouds tv na mzee platnumz, kweli jamaa kachoka. Huyu ni baba yake na mwanamuziki matata nchini Diamond Platnumz. Kama alikukosea wewe na mama yako, mbona ameshasema mumsamehe?...
View ArticleSteve Nyerere na Utajiri wa Kutisha
Watu wamekuwa wakimdharau huyu jamaa je amekua? Japo anasifika kwa kumwaga mipesa kwenye burudani je amekua? ni biashara au nani yupo nyuma yake? Umiliki 1. Toyota prado(new model) 2. Toyota Rav 4( new...
View ArticleTumpigie kura mtanzania mwenzetu Nandy
Mtanzania mwenzetu huyo katika shindano la Tecno own stage plz Gonga HAPA
View ArticleMume wa Zari na wenzake wakamatwa Afrika Kusini
Mme wa zari ambaye pia ni mganga wa kienyeji(sangoma)amekamatwa huko south africa kwa sababu ambazo hazijulikani ila najua umeshajua ni kwa nini???wazee wa mgumashi maana deal zao ni kama za ustaaazi j...
View ArticleDr. Slaa na Mpenzi wake kubariki ndoa nchini Canada
Aliyekuwa katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbroad Slaa na Josephine Mushumbusi kubariki ndoa nchini Canada kabla ya sikukuu ya Pasaka itakayoadhimishwa mwishoni mwa mwezi wa tatu. Chanzo: Gazeti
View ArticleAmber Rose amuanika Kanye kuhusu kumpapasa tezi dume
Mnasemaga ni uswahii....na hii je! Wenyewe wanaiita prostate massage, kwamba mtoto wa kiume unapokua kwenye game mwanamke anaingiza kidole njia ya hajakubwa...... Wanasifia mshindo wake ni mkubwa mno,...
View ArticleDiamond Rudi Shuleni,Ally Kiba Ni KING Kakuzidi sana
Kwa muda sasa nipo hapa JF lakini sijawahi kuandika swala linalohusu bongo fleva. Lakini leo acha nitowe mtazamo wangu juu ya muziki huo.Huku nikijikita kwa Diamond na Ally Kiba Nimeusikiliza wimbo...
View ArticlePeter Msechu kafanana na Tundu Lisu
Sijui ni macho yangu tuu,ila naona mwanamuziki Peter Msechu amefanana sana na mbunge Tundu Antipus Lisu
View ArticleHivi Salama Jabir wa Mkasi ni demu wa nani?
Jioni hii nilikuwa naangalia marudio ya kipindi cha Mkasi. Nikajiuluza jambo kichwani. Hivi huyu salama J ni demu wa nani? Maana kwa miaka nimemfahamu muda wote yupo na wanaume tu lakini anayemng'oa...
View ArticleWema Sepetu anakoelekea siko
Ujumbe huu ni wa kwako Wema Abrahamu Sepetu. nosly said: ↑ Hii si hali ya kawaida. Kama ni kweli anatumia madawa ya kuongeza makalio kama tetesi zilivyo, basi hali imefikia pabaya. Video hii...
View ArticleBASATA kaeni mkao wa kula, Video ya Chura anarukaruka, ikitoka fungia kisha...
Heshima kwenu wakuu, Hii video ya Snura ya Wimbo wa Chura anarukaruka, ikitoka tu naomba ifungiwe. Mkishaifungia mumpige msanii marufuku ya kujihusisha na Muziki kwa Miaka mitatu. Hatuwezi endelea...
View ArticleLe Mutuz aenda kumsalimia Shose Sinare gerezani
William Malecela alienda kumsalimia mtuhumiwa wa wizi wa fedha za umma na kumkuta akiwa na hali mbaya ameomba watu waende kuwajulia hali. Bwana William aliambatana na mfanyabiashara maarufu bwana...
View ArticleTanzanian Video Queens
Napataje contacts za Aisha Salum aka Kidoa? Alitokea kwenye Akadumba ya Ney wa Mitego
View ArticleNguli la mitandao ya kijamii ladai Wakenya wanamshobokea
Nguli la mitandao ya kijamii Afrika na balozi wa salama kondom Tanzania ametua jijini Nairobi. Baada ya kufika tu Nairobi ameshangazwa sana na tabia ya wakenya ya kumshobokea huku wengine wakimuuliza...
View ArticleMastaa wasiopata hadhi wanazostahili Tanzania
MH,SUGU: Muite rais wa Mbeya,aka Sugu huyu ndo anaaminika kuwa mwanzilishi wa hip hop ya Tz,hitmaker huyu wa Haki,mikononi mwa polisi,aliwahi kuwaleta lost boyz,na pia aliwahi kutoa albamu yake nchini...
View ArticleCheki dogo Mfaume anavyoteketea....
Wauza unga kuweni na huruma kwa watanzania wenzetu,yule Dogo Mfaume wa enzi zile za "kazi yangu ya dukani" ndo basi tena sasa hivi kashakua teja....daah vipaji vya ukweli vinazidi kupotea kwa ngada....
View Article