Quantcast
Channel: Celebrities Forum
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12682

Cheki dogo Mfaume anavyoteketea....

$
0
0
Wauza unga kuweni na huruma kwa watanzania wenzetu,yule Dogo Mfaume wa enzi zile za "kazi yangu ya dukani" ndo basi tena sasa hivi kashakua teja....daah vipaji vya ukweli vinazidi kupotea kwa ngada.

Mlaaniwe wote mnaouza unga kuanzia nyie wenyewe na vizazi vyenu vyote.

..."kazi yangu ya dukanii aaahahh yaniweka matataniii wanao nirudisha nyuma wengi wao majiraniii"

View attachment 331906


Viewing all articles
Browse latest Browse all 12682

Trending Articles