Quantcast
Channel: Celebrities Forum
Browsing all 12682 articles
Browse latest View live

Chid Benz ametoroka sober house

Chid Benz amedaiwa kutoroka sober house baada ya kukaa muda wa mwezi mmoja, watu waliokuwa wanamuangalia wanasema inawezekana alikuwa hajazoea kukaa kufungiwa kila mara ndio maana akaondoka lakini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Young Dee: Mimi situmii unga, ila ni cha-pombe mkubwa

Young Dee amekanusha tena uvumi ulioenea mitandaoni kuwa anajihusisha na matumizi ya dawa za kulevya. Akiongea kwenye kipindi cha Harakati cha Clouds FM kinachoendeshwa na Kalapina, rapper huyo...

View Article


Natafuta sura halisi ya Soudy Brown wa CloudsFM

Tsup. KWA WASIOMJUA: Soudy Brown ni Mtangazaji Maarafu Wa Clouds FM katika kipindi cha XXL kwenye sesion ya YOU HEARD. Tumezoea kuziona picha za huyu jamaa akiwa na Mask usoni. Yaani jamaa amefanikiwa...

View Article

Sugu asanda, aipromoti Clouds na leo ataunguruma Clouds 360

Katika hali isiyotegemewa nimeona Mh sugu aka kinega akiwa a me post katika ukurasa wake wa insta kuwa leo ijumaa atafanya ziara Cloudsmedia group. Tuseme clouds ndiyo empire hawamshindwi yeyote?

View Article

Haya mashindano aliyo shinda Diamond jana sijawahi kuyasikia!

Nahisi ugeni wa mambo ndo unachangia kwa mwenye uelewa na hii tuzo anaweza kutwambia inahusu nini? Maana naona Insta kumechafuka sanaaa ni Diamond na Mkandaa huu alio shindaa,ukiendaa huku utakutana na...

View Article


ALIKIBA DEAL NA SONY JE LITAMSAIDIA KUFIKA MBALI KWA STYLE YAKE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Did Suge really force Jay-Z to pay tribute to Tupac?

​ I heard this. Back in the day, Jay used to be very tight with Dr Dre. Jay wanted "clearance to the West" (security), specially after having been dissed by the GOATPac Shakur who rep'd the West. After...

View Article

Wema sepetu'' natumia tsh milioni 1.2 kwa wiki kwa ajili ya nywele zangu"

Msanii wa filamu, Wema Sepetu, ameweka wazi kwamba hutumia shilingi milioni 1.2 kwa ajili ya kutengeneza nywele zake kwa wiki moja. Pia hutumia Sh 30,000 ya chakula kwa siku na kama atanunua na chakula...

View Article


Miaka mitatu ya kifo cha Mangwea.. Je unakumbuka nini?

Leo ni miaka mitatu tangu bingwa wa michano na mkali wa muziki wa kizazi kipya mwenye kipaji cha kipekee Albert Mangwea atutoke. Ni mazuri yapi unayokumbuka kutoka kwake? Mimi nakumbuka siku anachukua...

View Article


Tanzia: Mmiliki wa baa maarufu Magomeni Hussein Macheni ameaga dunia ghafla...

Mmiliki wa baa maarufu ya Macheni iliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam, Hussein Macheni amefariki dunia leo baada ya kuanguka ghafla akiwa nyumbani kwake Magomeni. Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huu mchezo hauhitaji hasira

Nafurahi sanaa kuona wale watu ambao ni wageni kwenye Music wanafanikiwaa!! Ray na Harmonize kwa show wanazopiga sahizi hakika hawatamsahau Diamond,airtime wanayo ipata sahizi hakika hawato msahau...

View Article

Deal ya Ali Kiba na Sony: Makosa yanayojirudia..

Huko kwenye mitandao ya kijamii kumechafuka habari ya Ali kusign deal na Sony wengi wakiamini huo ndio utakuwa mwanya wa msanii huyo kutoboa kimataifa.. Jambo ambalo mashabiki wake wanashindwa kuelewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wolper ni mke wangu, bado ubani tu – Harmonize

Baada ya Jacqueline Wolper kuthibitisha penzi lake kwa msanii wa WCB, Harmonize, muimbaji huyo wa ‘Bado’ ameibuka na kudai kuwa muigizaji huyo ni mke wake, na anachosubiri ni kuhalalisha tu. Uhusiano...

View Article


Haya mashindano aliyoshinda Diamond jana sijawahi kuyasikia!

Nahisi ugeni wa mambo ndo unachangia kwa mwenye uelewa na hii tuzo anaweza kutwambia inahusu nini? Maana naona Insta kumechafuka sanaaa ni Diamond na Mkandaa huu alio shindaa,ukiendaa huku utakutana na...

View Article

Wema Sepetu anakoelekea siko

Ujumbe huu ni wa kwako Wema Abrahamu Sepetu. nosly said: ↑ Hii si hali ya kawaida. Kama ni kweli anatumia madawa ya kuongeza makalio kama tetesi zilivyo, basi hali imefikia pabaya. Video hii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu atia neno kuhusu BET Awards

Muigizaji Wema Sepetu kupitia account yake ya Instagram ameonyesha nia ya kumuombea kura mpnz wke wa zaman Diamond Platimumz kwa kuandika maneno kadha japo hakumtaja kwa jina wala kuweka picha yake...

View Article

Mateso ya Jackline Wolper

Habari, Nimekua mda mrefu nikiwachukia wanawake wa bongo movie au mastaa wengi wa kike hapa nchini kutokana na tabia zao zenye ishara ya ukahaba. Jack Wolper nae ametokea kunifanya nimwone ovyo baada...

View Article


Wema Sepetu: Natumia TZS Milioni 1.2 kwa wiki kwa ajili ya nywele zangu

Msanii wa filamu, Wema Sepetu, ameweka wazi kwamba hutumia shilingi milioni 1.2 kwa ajili ya kutengeneza nywele zake kwa wiki moja. Pia hutumia Sh 30,000 ya chakula kwa siku na kama atanunua na chakula...

View Article

Watanzania hatumtendei haki Vanessa Mdee

Vanessa mdee ni msanii pekee wa kike wa Tanzania anaefanya vizuri Africa kwa ujumla, ukichukua wasanii 5 wakike bora africa kwa sasa huwezi muacha vanessa mdee hata nominations mbalimbali za tuzo kubwa...

View Article

Ali Kiba na deal la Sony, Je litamsaidia kufika mbali kwa staili yake?

View Article
Browsing all 12682 articles
Browse latest View live