Quantcast
Channel: Celebrities Forum
Browsing all 12682 articles
Browse latest View live

Ushauri kwa mmakonde mwenzangu Harmonize

View attachment 350847 View attachment 350848 NIMEMPA MANENO KILUGHA SASA AKILI KICHWANI MWAKE Wako kaka hamornize uve nkukumbuka apanu pachilambo ufete chani?... anayemwali waa akave mmaeeh...

View Article


Joto la asubuhi (Hando,PJ,Adela) vs Power Breakfast (Masoud, Fredwaa, Barbara)

Mimi nilikuwa mpenzi sana wa kipindi cha Power Breakfast cha clouds Fm....Lakini nna kama wiki sasa nimekuwa niki interchange kati ya Power Breakfast na Joto la asubuhi cha Efm...Na sasa naona navutiwa...

View Article


Millard ayo unatuangusha

Buenos noches Huyu kijana naweza sema ni mtanashati na mbunifu sana kwenye tasnia ya habari, anatumia vizuri social media kutufikishia habari ontime na uncernsored. Kupitia youtube channel yake pia...

View Article

mbwiga wa mbwiguke nini maana ya dinyaalile dinyala?

bwana mbwiga huu msemo wako unamaanisha nini?

View Article

Yooooo"""(kiba), Wasafiiii(mond),,okey,, (shetta) wapenda kibwagizo kipi?

Wasanii hawa,, wamejijengea majina kwa kupitia vibwagizo vyao... ukivisikia tuu unajua..anayeimba ni nani... swali wapenda kipi hapooo... mimi nikisikia "okey" yan basiiii....

View Article


Mateso ya Jacklyn Wolper

Habari, Nimekua mda mrefu nikiwachukia wanawake wa bongo movie au mastaa wengi wa kike hapa nchini kutokana na tabia zao zenye ishara ya ukahaba. Jack Wolper nae ametokea kunifanya nimwone ovyo baada...

View Article

Le Baharia amuonya Diva Loveness

Baada ya kituo cha redio cha Swahili fm kurusha matangazo yake ya majaribio na kuonesha mafanikio ya hali ya juu,yaani kuweza kusikika kwa usikivu mzuri mpaka maeneo ya Pretoria na Cairo wakati...

View Article

Lady Jaydee apiga dongo gizani "kichwa kama tofali"

Katika Naamka Concert wakati akiimba wimbo wa "siwema" kuna kale kamstari [emoji445] eti sababu yeye ni mzuri sana[emoji444] siwezi kupata mwingine kama yeye[emoji444] , jide akamalizia kichwa kama...

View Article


Chidi Benz atoroka sober house, yadaiwa alikaa siku 28 tu

Wakati wadau wa muziki wakifahamu kuwa msanii wa muziki wa Hip Hop Bongo, Rashid Makwilo ‘Chidi Benz’ yuko katika kituo cha kusaidia waathirika wa madawa ya kulevya‘sober house’ kilichopo Bagamoyo...

View Article


Mbwiga wa Mbwiguke nini maana ya dinyaalile dinyala?

View Article

Mateso ya Jackline Wolper

Habari, Nimekua mda mrefu nikiwachukia wanawake wa bongo movie au mastaa wengi wa kike hapa nchini kutokana na tabia zao zenye ishara ya ukahaba. Jack Wolper nae ametokea kunifanya nimwone ovyo baada...

View Article

Matangazo ya mitandao MPOKI VS JOTI nani zaidi...??

Wadau haya twende kazi nani unayemuona zaidi ya mwingine kati ya mpoki na joti matangazo ya mitandao ya vodacom na Tigo, Mi kwangu mpoki kwenye hili tangazo la vodacom la "Hapa kasi tu"jamaa anajua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatimaye moyo wa Nay wa Mitego wadondokea kwa mtoto mzuri wa Kiethiopia

Miezi michache tu baada ya staa wa Hip Hop Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kuripotiwa kutoka na msichana anayejulikana kama Chaga Baby, hivi sasa yupo na mrembo raia wa Ethiopia (Mhabeshi)...

View Article


Nape: Wema ametupa heshima kubwa, tutamuweka kwenye rekodi zetu

Waziri wa habari, michezo na sanaa Nape Nnauye amesema msanii wa filamu Wema Sepetu amewapa heshima kubwa kwa ku launch application yake ya Wema Sepetu ambayo itakuwa inatoa taarifa za Wema. Aliyasema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mazungumzo ya kuwapatanisha Birdman na Lil Wayne yagonga mwamba

Mazungumzo ya kuwapatanisha Birdman na Lil Wayne yamegonga mwamba, imebainika. Wiki hii video ya Wayne akiidiss Cash Money imesambaa mtandaoni. Mazungumzo hayo yalikuwa ni kumaliza madai yaliyotolewa...

View Article


Hiki ndicho WCB na Jay Z na Beyonce wanafanana

Mwaka huu Beyonce ametengeneza vichwa vya habari duniani si tu kwa kushtukiza tena kwa album mpya ‘Lemonade’, bali kwa jinsi alivyoamua kuitumia kuelezea kwa mara ya kwanza skendo ya muda mrefu kuhusu...

View Article

Alikiba Akubali ushauri wa Shabiki

Naweza kusema kwamba huu ni ukomavu kimziki kwa Alikiba baada ya kuona post hii huko instagramuni. kinachotakiwa sasa ni sisi mashabiki kuendelea kumpigia kura Diamond ili tuzo irudi nyumbani na...

View Article


Hawa clouds fm ni wa ajabu sana jamani

Leo majira ya 13:50 kwenye kipindi cha XXL cha clouds fm.mtangazaji B12 ametangaza kwamba kesho kutakuwa na special day for the late Albert Mangwea. Kilichonishangaza ni je kwa nini wasanii wengine...

View Article

Watangazaji hawa ni aibu kwa radio station

Nimesikitishwa na kushangazwa sana kuona radio Hii, Tena iliyopo jijini Dar Kuwa na watangazaji wabovu kama hawa. Hadi mgeni Jide kawaona kituko. Jionee hapa

View Article

Wema Sepetu: Najuta kutoa mimba ya Marehemu Kanumba

View attachment 350824 Katika Mahojiano yake na Waandishi wa Kampuni ya New Habari(2006) Ltd,Wema Sepetu anaanza kwa kusema "Nilipokuwa na uhusiano na Marehemu Kanumba,nikiwa naishi na wazazi...

View Article
Browsing all 12682 articles
Browse latest View live


Latest Images