Quantcast
Channel: Celebrities Forum
Browsing all 12682 articles
Browse latest View live

Kwanini nyimbo za Alikiba huvuja kabla ya muda?

Imekuwa kawaida sana Ali kiba Kabla ya kutoa nyimbo zake huvuja mapema,Amepanga kuitoa Nyimbo yake mpya ya Aje kesho pamoja na video yake ikiianzia Mtv lakini bahati mbaya nyimbo tayari watu tunayo mda...

View Article


Godzilla vs Gnako

Ni wasanii wanaoweza kurap na kuimba...wameshaimba nyimbo zao,wamefnya chorus kwny nyimbo zikang'aa pia.baadhi ya hit single zao ni; GNAKO 1.Sichezi mbali 2.Headache 3.Juma ikangaa 4.original 5.Arosto...

View Article


Jina la Diamond linadhihirisha tabia zake

Nasibu Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ni msanii wa aina yake kwa namna ameanza muziki mpka alipofika hapa leo,pia amekua inspiration kwa vijana wengi katika sanaa anayofanya na ata nje ya sanaa....

View Article

Mtangazaji Masoud Masoud wa TBC

Wanamwita manju wa muziki. Huyu ni mtangazaji mkongwe na nguli wa maswala ya muziki na wanamziki, kupitia TBC. Ukimsikiliza Masoud, utaelewa umuhimu wa specialization katika utangazaji, uandaaji...

View Article

Kumbe Fid Q ana watoto watatu wa mama tofauti??

Leo na ni muda huu yupo Clouds Fm kwenye XXL anafanya mahojiano,nimeshangaa kumsikia jamaa anasema "Ujue mimi nina watoto watatu wa mama tofauti". Kumbe wenye watoto wengi na kila mtoto na mama yake...

View Article


Tiwa savage vs Nhlanhla nciza(Mafikizolo wa kike)

ni wasanii wa kike africa wenye sauti nzuri na uimbaji mzuri..nani mkali zaidi??

View Article

Ngoma ya Shetta **Namjua**

Hii ngoma kiukwel ni hatar mno na kideo chake ni balaaa tupu.....Big Up Baba Qaillah!....Naona Jamaa katumia mkwanja mrefu sana kuandaa video ya wimbo huu ila ninachojiuliza hii kaz itamlipa vip hizo...

View Article

Diamond Platnumz katisha

kiukweli kijana wetu katsha sn n baada ya kutua bungen na kushangiliwa na wabunge wa pande zote mbili bila kujali itikadi ya vyama vyao... nafkir ndio msanii wa kwnz nchin kupata mapokez ya nguvu...

View Article


Binti wa miaka 19 anayedai kuwa na ujauzito wa Papa Wemba ajitokeza hadharani

View attachment 346624 Binti wa miaka 19 anadaiwa kuspend one night on the same bed na Hayati Papa Wemba amekua gumzo kwenye mitandao ya kijamii ndani na nje ya Congo(D.R.C) akidai kuwa na ujauzito wa...

View Article


J Cole is the illest New Skul Cat

Ilinichukua muda kiasi kumuelewa huyu chalii, si uongo. Kwa upande wangu Mshkaji hana mpinzani kwa hawa kizazi kipya. He got the contents, techniques to deliver, determination, genuine intent, and he's...

View Article

Gigy Money asema yupo tayari kucheza filamu za ngono kwa sharti hili

Video Queen na msanii wa filamu Tanzania, Gift Stanford ‘Gigy Money’ ameweka wazi kuwa yupo tayari kucheza picha za ngono endapo atapata mshiko wa maana. Gigy amesema kwa kuwa anatafuta fedha ya...

View Article

Wema Sepetu na Ommy Dimpoz katika mahaba, kimya kimya

View attachment 347464 LICHA ya tetesi kuzagaa kuwa Wema amerudiana na mpenzi wake, Idris Sultan, mtoto mzuri Bongo Muvi, Wema Sepetu amedaiwa bado anaendeleza uhusiano wa siri na staa wa Bongo Fleva,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madee: Sijawahi kufumaniwa nikiwa na Shilole.

Msanii wa muzuki wa bongo fleva Nuh Mziwanda ambaye alikuwa akitoka kimapenzi na Shilole alisema kuwa aliumia alipomfumania Madee na mpenzi wake huyo wa zamani katika sehemu ambayo si ya wazi yaani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wastara: Sipo kwa ajili ya kujiuza

Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma ambaye siku za karibuni aliomba talaka kutoka kwa mume wake amefunguka na kusema yeye sio mtu wa kujiuza, bali ni mtu ambaye anajijali na kujitunza. Wastara alisema...

View Article

Tigo yakata rufaa kuwalipa AY, Mwana FA TSh 2.18 Bilioni, majibu ya rufaa yao...

Kampuni ya simu ya MIC Tanzania (Tigo) imekata rufaa kupinga hukumu iliyoamuru iwalipe Sh2 bilioni wanamuziki wawili, Ambwene Yesaya na Hamisi Mwinjuma kutokana na kutumia bila ya ridhaa yao, nyimbo za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mrembo Irene anayedaiwa kuchepuka na Diamond kumbe ni mwanafunzi

BINTI anayedaiwa kubanjuka kimalovee na staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnum’ anayejulikana kwa jina la Irene Hilaly ‘Lynn’ kumbe ni mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Msimbazi Centre...

View Article

Gardner Habash: Natumia laki 1 kwa siku

Mtangazaji wa kipindi cha Jahazi, ambaye hivi karibuni amemkojoza yule moto wa kike,amejitapa kuwa matumizi yake kwa siku ni shilingi 100,000 wakati akimfanyia interview msanii wa Bongo Flavour...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ommy Dimpozi: Mabinti wananisumbua sana

Ommy Dimpoz ametaja sababu kubwa ya kumuweka mpenzi wake wazi ni kupunguza kasi ya wasichana wanaomwinda. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, kinachoruka kupitia EA Radio, Ommy Dimpoz alisema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gigy Money: Niko kwenye uhusiano wa kimapenzi na Gardner kwa miezi 6 sasa

MUUZA sura kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Giggy Money’ amefunguka kuwa mtangazaji maarufu Bongo wa Clouds FM, Gardner G. Habash hachomoki kwake na hadi sasa wako kwenye uhusiano wa mapenzi...

View Article

Jeuri ya pesa ya kijana mussa Goodfellow

Awanyamazisha midomo watoto wa vigogo na kuwaambia waache kutegemea pesa za wazazi wao. Ni baada ya kununua gari mpya aina ya marcedes yenye thamani ya shilingi milioni miatatu huku akiongeza idadi ya...

View Article
Browsing all 12682 articles
Browse latest View live