View attachment 348285
Huyu dogo alishinda tuzo ya "Airtel Talent" pale Nairobi Kenya na baadae akapata offer ya ku-record wimbo na Akon. Kabla ya hapo alikuwa ameimba na Mr Blue.
Kwa sasa "single" yake aliyomshirikisha Akon imetoka, ni wimbo mzuri, hakika umemvusha dogo toka hatua moja kwenda nyingine. Wimbo mzuri na unasikiliza.
"Don't Go Away" ndio habari ya town kwa sasa.
Huyu dogo alishinda tuzo ya "Airtel Talent" pale Nairobi Kenya na baadae akapata offer ya ku-record wimbo na Akon. Kabla ya hapo alikuwa ameimba na Mr Blue.
Kwa sasa "single" yake aliyomshirikisha Akon imetoka, ni wimbo mzuri, hakika umemvusha dogo toka hatua moja kwenda nyingine. Wimbo mzuri na unasikiliza.
"Don't Go Away" ndio habari ya town kwa sasa.