Quantcast
Channel: Celebrities Forum
Viewing all 12682 articles
Browse latest View live

Number ya artist wa tht

$
0
0
Habari wana jamvi...

Jamani kwa yule ambaye ana number direct ya Linah wa Tht basi naomba anipe...sio dili nina issue nae binafsi...Asanteni

Marapa 5 wanaodaiwa kuwa ni mashoga

$
0
0
Ni nadra sana kusikia wasanii wanaofanya rap kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja hasa kutokana na nature ya muziki wenyewe unaoaminika kuwa ni muziki wa wagumu na watu wanao-stay real.

Hata hivyo kuna baadhi ya marapa ambao japokuwa hawajajitangaza hadharani kuwa ni 'gays', lakini mienendo na lifestyle zao zimepezimepelekea watu kuwatupia jicho la tatu na kuhis kuwa huenda majamaa ni 'homos'. Icheki listi hii:

1. Young Thug.
Rapa huyu kutoka Atlanta amekuwa na tabia ya kupost...

Marapa 5 wanaodaiwa kuwa ni mashoga

Ni kweli Diamond na Zari Wanataka Kuachana? Ni kweli Diamond kahamishia Majeshi kwa Lyn?

$
0
0
Kinachoendelea sahizi instagram ni Mtifuano na ukorochoaji wa Maisha ya watu! Watu wapo busy,watu wapo katika pirika pirika za kutafuta ukweli kujua nini kinacho endelea kati ya Zari na Diamond na Diamond na Video queen wa Kwetu' Mama Diamond na mkwe wake na mawifi mtu!

Kama unavojua wabongo Umbea una nguvu kuliko Ripoti ya CAG insta kumechafuka.....Mama Diamond alianza kwa kufuta picha zote alizo post za Zari watu wakasema Mmmmmmmmh kuna kitu hapa,(mimi sidhani kama kufuta picha za mtu ni...

Ni kweli Diamond na Zari Wanataka Kuachana? Ni kweli Diamond kahamishia Majeshi kwa Lyn?

Wako wapi watu hawa? Jamii inawamiss sana

$
0
0
Habari za jpil wapendwa?? Kuna watu ambao walikuwa ni wabunifu na wapo safi sana katika shughuri zao.nazungumzia watangazaji na madj ambao walijizolea umaarufu sana ila kwa sasa hawajulikani walipo,tafadhari kama unafahamu walipo hawa watu tujuzane ili kama bado wanaendelea na kazi zao niweze kuwasikiliza huko walipo
1:DJ JEFF JERRY alikuwa ni dj wa kiss fm na RFA

2:UNCLE SAM alikuwa ni mtangazaji wa kiss fm na RFA

3:KID BWAY alikuwa ni mtangazaji wa RFA

4:JOACHIM MUNGARUGULU(JML)...

Wako wapi watu hawa? Jamii inawamiss sana

Wasabato Masalia watimuliwa tena uwanja wa ndege, polisi watoa onyo la mwisho

$
0
0
Wasabato Masalia watimuliwa tena uwanja wa ndege, polisi watoa onyo la mwisho





Baadhi ya waumini Wasabato, wanaojitambulisha kama 'Masalia' baada ya kutimuliwa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, ambako wamekuwa wakipiga kambi kwa imani ya kunyakuliwa hadi Ulaya bila pasipoti, tiketi, visa na taratibu zingine za usafiri wa kimataifa.
Na Furaha Kijingo

KUNDI la waumini wa Dhehebu la Waadventista Wasabato Masalia, kwa mara ya tatu limesambaratishwa na...

Wasabato Masalia watimuliwa tena uwanja wa ndege, polisi watoa onyo la mwisho

Ifahamu Hamasa TalkShow ni TalkShow mpya kwa wakazi wa Kagera na watanzania wote kwa ujumla

$
0
0
Hamasa talk show ni show mpya kwa wakazi wa Kagera,na watanzania wote kwa ujumla.Lengo ni kujadili changamoto mbalimbali na kuzitafutia ufumbuzi,lengo likiwa kusukuma maendeleo.

Show inakutanisha watu mbalimbali ambao wanafanya jitihada mbalimbali kwenye maendeleo kama ya kiuchumi,kiutamaduni,michezo na sanaa.Kupitia show hiyo watu watajifunza mengi na hatimaye italeta mabadiliko katika jamii.Unaweza kuiangalia pia youtube kwa kuandika frajomedia

Kwa hili, Clouds Fm wamechemka sana

$
0
0
Kwanza niseme tu ukweli, Mimi kipindi ninachosikiliza Clouds Fm ni XXL tu na terminal cha Abela na Harisi. Vingine vyote naona havinivutii kabisa. Sasa ni hivi.

Hiki kipindi cha XXL kwa wale ambao wanasikiliza watakuwa wamegundua kitu ya kwamba kuna jamaajina limenitoka ila ni mpya kwenye XXL, yule jamaa wanampush ili awe sawa na akina Dozen na Mchomvu na hivo kila siku yeye ndie anayefungua kipindi na kufunga. Lakini pamoja na kumpush huko ila jamaa bado sana hajajua namna ya kutangaza...

Kwa hili, Clouds Fm wamechemka sana

When Birdman walked outta The breakfast club interview. Will the internet ever leave him alone?


Picha ya Lemutuz yauzwa kwa mnada wa sh mil 7

$
0
0
Chama cha Lembebezz Akili kubwa Instagram (LAKI) leo kimejikuta katika vita kubwa ya hela baada ya kugombania kununua picha ya King of all social media bongo,vita hiyo ilianza baada ya king huyo kupost picha yake aliyopiga miaka ya sitini mwanzoni akiwa sekondari huku ikiandamana na maneno matamu ambayo iliwaacha watoto hao wamelowa tepetepe.

Baada tu ya kupost picha hiyo Lembebezz mmoja alisema yuko tayari kununua picha hiyo kwa mil 3 aiweke chumbani kwake ili kabla ya kulala awe anapata...

Picha ya Lemutuz yauzwa kwa mnada wa sh mil 7

Dada aliyesababisha Jay Z kupewa kichapo na Solange ajitokeza

$
0
0
Beyonce ka release album mpya, katika nyimbo zake kaongelea kuhusu cheating partner, kuna mstari kasema eti kisingizio dada ana "good hair", Anaehusika kajistukia kaanza ku tweet na sasa anakiona cha mtemakuni from team Beyonce.

[​IMG]

[​IMG]
Huyu ni ex wife wa Damon Dash....jay kafanya...

Dada aliyesababisha Jay Z kupewa kichapo na Solange ajitokeza

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha

$
0
0
Hali si shwari kwa diaspora wetu mwanadada machachari wa kubully watu kupitia blog na mitandao ya kijamii Mange Kimambi.

Kwa wafuatiliaji wa mambo tetesi ni nyingi tokea mwaka jana kuwa Mange kaachwa na mumewe Lance na sasa wanalelea watoto tu.
Lakini Mange mwenyewe amekuwa akijitutumua kuonesha mambo sio mabaya katika ndoa yao,japo ni dhahiri kwamba hakuna ndoa baina yao tena.

Leo kwa mara ya kwanza kupitia ukurasa wake wa Instagram kaweka picha akiwa ni mwenye majonzi mengi,hii ndio...

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha

Beyonce na Jay Z watengeneza kiasi cha Bilioni 375 kwa kuwadanganya Mashabiki zao.

$
0
0
[​IMG]

Beyonce na Jay Z waliamua kufanya uamuzi wa pamoja wa kuzusha tetesi za kuachana kwa lengo la kutengeneza pesa.


Uamuzi huo ulihusisha kuuza kopi nyingi za Album mpya ya Beyonce #Lemonide yenye nyimbo ambazo zinaeleza jinsi gani Jay Z amekuwa si muaminifu kwenye Ndoa yao.

Inasemekana kuwa wawili hao hawana mkwaruzano wowote ule ila lengo lilikuwa ni kuuza kopi nyingi za Album hiyo mpya.

Pia...

Beyonce na Jay Z watengeneza kiasi cha Bilioni 375 kwa kuwadanganya Mashabiki zao.

Giggs' £20m divorce: Footballer faces record payout as wife snaps over him 'chatting up waitresses'

$
0
0
Giggs' £20m divorce: Footballer faces record payout as wife snaps over him 'chatting up waitresses'
  • The former Manchester United winger split from his wife three months ago
  • Giggs, 42, is reported to have been flirting with waitresses in his restaurant
  • The couple attempted to rebuild their relationship after his infidelities
  • Giggs and wife Stacey are still living in the same house despite the split
  • Brother Rhodri...

Giggs' £20m divorce: Footballer faces record payout as wife snaps over him 'chatting up waitresses'

Natamani kumjua Kibwana Dachi wa Magic Fm

$
0
0
Huyu mzee hapatikani kwenye mtandao wa kijamii wowote,hapatikani Facebook,Twitter,instagram,jf,Google,YouTube,snapchat na ukute hata whatsapp hayupo huyu mzee.natamani sana kumjua sura yake,naomba mwenye picha yake atupie hapa maana ni mchambuzi mzuri sana wa habari,kama humjui sikiliza Magic fm kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa nne.
NB:Magic fm ndio redio ambayo ni kongwe ila imedumaa vibaya sana.haina vipindi vilivyopangika,inshot ndio redio ya zamani ambayo ni ya hovyo kupita redio zote

Princess Tiffah Dangote, followers kibao Instagram

$
0
0
Nilikuwa napitia pitia instagram nikashangaa kuona katoto ka Diamond kana followers 527k. Nikajiuliza ni kitu gani wanachokifuatilia? Nilipoingia sikuona la maana zaidi ya picha zake akiwa kalala, anabembea, kabebwa, au amepanda kwenye kigari cha watoto n.k.

Idadi hiyo ya followers ni kubwa kuliko ya wasanii na watu ambao tuna kitu cha kuwafuatilia.

Mfano Dully Sykes, Profesa J, Mr Blue, na Belle9 ambao ni moja kati ya wasanii maarufu na ambao wana mchango na influence kubwa.

Shaffi...

Princess Tiffah Dangote, followers kibao Instagram

Kwa mwendo huu, nahisi Idris Sultani atafulia mapema

$
0
0
Hellow

Kuna fununu kuwa Idris Sultan anatoka kimapenzi na Wema Sepetu, na kama tunavojua wadau Wema Sepetu anachotaka huwa ni pesa tu (ukiangalia dating history yake)

Pia inasemekana sahiv dogo anamiliki BMW na kumaintain iyo gari c pesa ndogo

Kwa mwendo huu cdhani kama ile million 500 itafika mbali, cjui lakini

New Audio: Harmonize Ft. Raymond - Penzi

Wema Sepetu anakoelekea siko

$
0
0
Ujumbe huu ni wa kwako Wema Abrahamu Sepetu.

Vodacom wabandua mabango yenye picha za Diamond

Diamond: Mnajaribu kuniachanisha na Zari lakini hamtoweza

$
0
0
[​IMG]

Diamond anataka kuwapa ujumbe ‘haters’ wa uhusiano wake na mama wa mtoto wake, Tiffah, Zari the Bosslady, kuwa hata wafanye vipi, hawataweza kuwakosanisha.

Hilo linaweza kuwa ni jibu la kwanza tangu zivume tetesi kuwa hitmaker huyo alimsaliti mpenzi wake na mrembo anayeonekana kwenye video ya msanii wake, Raymond, Kwetu.

Msichana huyo aitwaye Irene anadaiwa kuitikisa ngome ya The Chibus....

Diamond: Mnajaribu kuniachanisha na Zari lakini hamtoweza
Viewing all 12682 articles
Browse latest View live


Latest Images