Quantcast
Channel: Celebrities Forum
Viewing all 12682 articles
Browse latest View live

Kurudi Clouds Fm; Masudi Kipanya ajigamba, ni pesa tu!

$
0
0
Masoud Kipanya amerejea tena Clouds FM baada ya kupita muda mrefu takribani miaka minane tangu aondoke. Mchoraji huyo maarufu wa katuni ya Kipanya, anasikika kwenye kipindi cha asubuhi cha Power Breakfast.

[​IMG]

Akizungumzia kurudi kwake, Masudi anasema, “Sijui kama unajua kuwa mimi Clouds nilifukuzagwa kazi! Msingi wa kutoka Clouds ni kwamba sikutoka kwasababu nilikuwa labda niko hivi hapana, tulikuwa tunafanya kazi zetu...

Kurudi Clouds Fm; Masudi Kipanya ajigamba, ni pesa tu!

Mzee Majuto atangaza rasmi kuacha kuigiza, sasa kumrudia Mungu wake

$
0
0
[​IMG]

Mzee majuto ambaye amejipatia umaarufu sana kwa uigizaji hususani katika Comedy ametoa kauli rasmi kuwa kwa sasa ameamua kuachana na kazi hiyo ya uigizaji na sasa kumtumikia Mungu na kuomba asamehewe makosa kwa yale aliyotenda nyuma.

Mzee Majuto amesema kuwa kwa sasa anaamini anaweza kuishi bila kutumia kipaji chake hicho cha ugizaji na muda huu atatumia kumuomba Mungu amasamehe makosa aliyotenda na kudai kuwa...

Mzee Majuto atangaza rasmi kuacha kuigiza, sasa kumrudia Mungu wake

Ferooz: Bora niugue UKIMWI kuliko kutumia dawa za kulevya

$
0
0
[​IMG]

Msanii wa kizazi kipya Ferooz amefunguka na kusema ni bora mtu apate virus vya Ukimwi kuliko kutumia madawa ya kulevya kwani anadai mtu akitumia dawa za kulevya mwisho wake ni kuaibika na kushindwa kufanya mambo ya msingi katika jamii.

Akizungumza kwenye kipindi cha eNewz Ferooz alidai kuwa yeye anaona ni bora mtu apate Ukimwi kwani itawezekana mtu huyo kuishi kwa matumaini, huku akiendelea kufanya mambo yake ya...

Ferooz: Bora niugue UKIMWI kuliko kutumia dawa za kulevya

Snura chura ndio kiboko yetu

$
0
0
Hii video ndio dawa

khaaaa kama baikoko
kama maadili hapa yamepitiliza kama chura anavyorukaruka

Ama Kweli Diamond ni "Mzungu"

$
0
0
Katika hali isiyo tarajiwa na wengi hatimaye Diamond platnumz amempost na kumuwish Happy B day mtoto wa kufikia mtoto wa Zari bila kinyongo kabisa!

Wanaume inabidi kuiga mfano huu na kuacha Vinyongo pamoja na Biti zote anazochimbwa na Ivan!
[​IMG]

Kumbe Nyimbo Mpya Ya Sajna NDOTO YAKO ameiiba

$
0
0
Jamani leo katika kupiga nyimbo za kweye pc yangu nikajikuta napiga nyimbo mpya ya sajna NDOTO YAKO mala kuna jamaa akaja na kuni uliza kuwa hiyo nyimbo kaimba anani nika mjibu sajna hakuongea kitu ila aliondoka sasa usiku huu kaja na washikaji wake huku wakilalamika kichizi wakidai Sajna amemuibia nyimbo yake ni kweli kabisa maana ukiingalia sajna na jamaa walikuwa watu wa karibu sana sasa huo ukaribu ndio ume mponza jamaa mpaka sajna akaiba nyimbo yake, yaani kakopi mwanzo mwisho wa...

Kumbe Nyimbo Mpya Ya Sajna NDOTO YAKO ameiiba

Ni kweli Diamond na Zari Wanataka Kuachana? Ni kweli Diamond kahamishia Majeshi kwa Lyn?

$
0
0
Kinachoendelea sahizi instagram ni Mtifuano na ukorochoaji wa Maisha ya watu! Watu wapo busy,watu wapo katika pirika pirika za kutafuta ukweli kujua nini kinacho endelea kati ya Zari na Diamond na Diamond na Video queen wa Kwetu' Mama Diamond na mkwe wake na mawifi mtu!

Kama unavojua wabongo Umbea una nguvu kuliko Ripoti ya CAG insta kumechafuka.....Mama Diamond alianza kwa kufuta picha zote alizo post za Zari watu wakasema Mmmmmmmmh kuna kitu hapa,(mimi sidhani kama kufuta picha za mtu ni...

Ni kweli Diamond na Zari Wanataka Kuachana? Ni kweli Diamond kahamishia Majeshi kwa Lyn?

Kumbe Prince ni ngoma iliyomuondoa

$
0
0
Ebwana wanaJF Mzuka!

Nimeshangaa kusoma mda si mref kwenye mtandao kwamba mwanamzik maaruf dunian miondoko ya Pop Prince (Si maanish huyu wakwetu aliyetubania wa kaskazin) kifo chake kilisababishwa na ukimwi.

Inasemekana alipata ngoma maka ya 90 ila majuz ikadevelop into AIDS. Alishahuriwa apate matibab ila akawa mgum akidai ni Mungu pekee tu atamponya.

Huu ugonjwa haubagui uwe tajir maskin dah kibaya zaid umekaa pabaya hapo tu. Ni Mungu kutupa uvumiliv tu hamna jins!

R.I.P Prince...

Kumbe Prince ni ngoma iliyomuondoa

Afande Sele aachana na Uislamu, sasa anaabudu Jua!

$
0
0
View attachment 344065

Yule nguli wa muziki kutoka mji kasoro bahari, Mfalme pekee wa rhymes, anayependa kujiita simba dume, Selemani Msindi au Afande Sele ameama kuachana na uisilamu na sasa Mungu wake ni jua

Amedai baada ya kufikiria muda mrefu ameona aimwabudu mungu ambaye hamwoni wala hajawi ku experience uwepo wake, na kwamba ameona kwa kua Jua ndio chanzo cha kila kitu kuanzia chakula na bidhaa zote pamoja na teknolojia hutegemea jua ambalo ndio moto, kwenye uzalishaji wake au...

Afande Sele aachana na Uislamu, sasa anaabudu Jua!

Jeuri ya Pesa: Bondia Floyd MayWeather achoma dola hadharani

$
0
0
View attachment 344104 View attachment 344105

Bondia mwenye jeuri ya pesa Mayweather amechoma pesa hadharani $100 kwa kiberiti,mbele ya wapqmbe wake huku akishangiliwa na wapambe

Pembeni akiwa amezungukwa na warembo waki-massage massage mwili wake...Jamaa ana kufuru sana ya pesa

BASATA kaeni mkao wa kula, Video ya Chura anarukaruka, ikitoka fungia kisha tia Kapuni

$
0
0
Heshima kwenu wakuu,

Hii video ya Snura ya Wimbo wa Chura anarukaruka, ikitoka tu naomba ifungiwe. Mkishaifungia mumpige msanii marufuku ya kujihusisha na Muziki kwa Miaka mitatu. Hatuwezi endelea kulealea huu ujinga.

Kama mliweza kuufungia Wimbo wa Roma wa Viva Roma Viva ambao haukua na tatizo katika Swala la maadili, naamin huu wimbo ukitoka msanii atawekwa mbaroni hata siku mbili.

Imetosha sasa kwa hawa dada zetu kujifanya eti wamepinda, wao ndo wanajua kukata mauni, wao ndo...

BASATA kaeni mkao wa kula, Video ya Chura anarukaruka, ikitoka fungia kisha tia Kapuni

Official Video: Nuh Mziwanda Ft. Ali Kiba – Jike shupa Cover

Tundaman, Chegge na Ferouz sio wasanii kabisa

$
0
0
Kama unajua muziki utaelewa ninachomaanisha, ila kama hujui basi hutaelewa kamwe, hao wasanii watatu nadhani ndio wasanii wabovu kabisa hapa Tz, hawajui kuimba kabisa.

Hao ni wasanii wa kuomboleza tu, maana wao kila nyimbo wanalilia tu hata kama ni nyimbo ya kuparty,
  • CHEGE sikiliza Dar mpaka Moro alivyolialia wakati ni nyimbo ya furaha
  • FEROUZ sikiliza Jirushe alivyolialia wakati ni nyimbo ya kuparty
  • TUNDAMAN sikiliza Starehe gharama alivyolialia wakati ni nyimbo ya kuparty,...

Tundaman, Chegge na Ferouz sio wasanii kabisa

Diva: Nyimbo zangu zinabaniwa sana kupigwa Redioni

$
0
0
[​IMG]

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva amesema nyimbo zake pamoja na za mtangazaji mwenzake, Adam Mchomvu zinabaniwa na redio zingine, kitu ambacho anaona si sawa.

Anasema redio za mikoani ndizo zimekuwa zikiwapa support bila kujali kuwa wanatoka Clouds lakini redio karibu zote za Dar zimekuwa zikibania nyimbo zao.

Diva ambaye anaandaa album yake, The Life...


Diva: Nyimbo zangu zinabaniwa sana kupigwa Redioni

PJ na Hando wameanza vizuri E-Fm

$
0
0
Nimesikiluza kipindi cha joto la asubuhi E-fm.

Hakika PJ na Hando wameanza vyema na kipindi chao. Mchanganyiko wa Abel Onesmo na Adela umevutia sana.

Wema Sepetu, inafaa aingie kwenye kitabu cha maajabu cha Guiness

Tanzia: Mama wa Tupac (Afeni Shakur) afariki dunia

$
0
0
Mama wa Tupac amefariki usiku wa jumatatu kuamkia jumanne. Taarifa zinaeleza amekufa kwa matatizo ya moyo.

[​IMG]
================

SAUSALITO, CA (KTVI)- The mother of legendary rapper Tupac Shakur has died.

According to our partners at TMZ, Afeni Shakur passed away Monday night after suffering from a heart attack at her home in...


Tanzia: Mama wa Tupac (Afeni Shakur) afariki dunia

Sugu amnunulia mpenzi wake gari la kifahari!!

$
0
0
Ripoti kutoka mitandaoni zinasema kuwa Muheshimiwa Mbunge Sugu Amemzawadia Gari aiana ya Toyota Lexus kama zawadi ya siku ya kuzaliwa kwa mpenzi wake ajulikanae kama Happiness, Sugu na mpenzi wake huyo mpya wamekuwa gumzo mitandaoni hasa baada ya aliyekuwa mpenzi wa Sugu wa zamani Faiza Ally kusema bado anampenda Sugu....Wadau wengi tunasubiri kuona Faiza atasema nini kuhusu hilo kwani amekuwa sio mvumilivu wa kukaa kimya kinapokuja suala la Sugu View attachment 343819

Naomba Shetta Usinirudishe Enzi za Mr Nice - Dudu Baya

$
0
0
Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop nchini, Dudu Baya amemtaka Shetta kuacha kutumia jina la ‘Mamba’ kwani hiyo ni ‘aka’ yake ambayo amekuwa akiitumia kwa miaka mingi.

Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Dudu Baya alisema anaomba Shetta aache mara moja kutumia jina hilo ili yasije yakatokea kama ya Mr Nice.

“Shetta ni kama mdogo wangu sitaki ugomvi nae, asinirudishe enzi za Mr Nice,” alisema

“Mbona majina yapo mengi kwanini atumie jina langu (Mamba). Naomba afikishiwe huu ujumbe,...

Naomba Shetta Usinirudishe Enzi za Mr Nice - Dudu Baya

Kaburi la papa wemba

$
0
0
Hili ndilo kaburi analotarajiwa kuzikwa mwanamziki mkongwe PAPA WEMBA

[​IMG]
Viewing all 12682 articles
Browse latest View live


Latest Images