Masoud Kipanya amerejea tena Clouds FM baada ya kupita muda mrefu takribani miaka minane tangu aondoke. Mchoraji huyo maarufu wa katuni ya Kipanya, anasikika kwenye kipindi cha asubuhi cha Power Breakfast.
![[IMG]]()
Akizungumzia kurudi kwake, Masudi anasema, “Sijui kama unajua kuwa mimi Clouds nilifukuzagwa kazi! Msingi wa kutoka Clouds ni kwamba sikutoka kwasababu nilikuwa labda niko hivi hapana, tulikuwa tunafanya kazi zetu...
Kurudi Clouds Fm; Masudi Kipanya ajigamba, ni pesa tu!
![[IMG]](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/05/IMG_7231.jpg)
Akizungumzia kurudi kwake, Masudi anasema, “Sijui kama unajua kuwa mimi Clouds nilifukuzagwa kazi! Msingi wa kutoka Clouds ni kwamba sikutoka kwasababu nilikuwa labda niko hivi hapana, tulikuwa tunafanya kazi zetu...
Kurudi Clouds Fm; Masudi Kipanya ajigamba, ni pesa tu!