Quantcast
Channel: Celebrities Forum
Browsing all 12682 articles
Browse latest View live

Who is Davis Elisa Mosha!!?

Davis Elisa Mosha, kijana kutoka familia ya kipato cha kawaida. Mzaliwa wa Kiborloni Moshi. Davis Mosha historia yake inaonyesha hakupata elimu kubwa (aliishia form four). kazi ya mwanzo ilikuwa mjaza...

View Article


Kanye West 'fired security guard because he tried to talk to his wife Kim...

Kanye West 'fired security guard just before the Met Gala because he tried to talk to his wife Kim Kardashian' And Kanye West has allegedly fired a security guard after he caught him trying to talk to...

View Article


Davis Mosha, afungua studio yake!

Davis Mosha ambaye aliyekuwa mgombea Ubunge Moshi mjini kupitia CCM 2015, afungua studio yake. Hii ni kwa mujibu wa ukurasa wake wa Facebook. Tunaomba wenye taarifa zaidi watujuze masafa ya vipindi vya...

View Article

Prince left $300 million but WHO will inherit his fortune? US judge makes...

PRINCE tragically died last week, and has left a $300 million fortune without a will. The star’s has two ex-wives, no children and a string of half-siblings, so who’s going to get his $300 million...

View Article

WCB punguzeni kukopi na kupesti

Utasikia Jason Deluro ndio kaiga [emoji23][emoji23][emoji23] View attachment 344836

View Article


Vodacom wabandua mabango yenye picha za Diamond

Kuna uzi humu lara 1 anaelezea jinsi makampuni yalivyopotoka kumtumia Diamond kwa matangazo yake kama humaniser. Uzi wenyewe ni huu: Pale makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond,...

View Article

Sugu yupo tena TBC1 sasa anazungumzia tena ule wimbo wa Mr Blue, Freedom

Ni ile ile ishu ya kumdhulumu Mr Blue wimbo wake freedom, hizi ni kick za kujisafisha kupitia vipindi mbalimbali vya runinga. Last week alikuwa FNL, leo yupo Beatz Agenda!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diddy aongoza orodha ya Forbes ya wana hip hop watano wenye mkwanja zaidi

Forbes wametoa orodha mpya ya wasanii wa hip hop wenye fedha zaidi, The Forbes Five. Diddy ameongoza orodha hiyo mwaka huu kwa kuwa na utajiri ufikao dola milioni 750. Nafasi ya pili imekamatwa na Dr...

View Article


PICHA: Jionee kaburi atakalozikwa Papa Wemba

View attachment 344729 Picha hii inasemekana ndilo kaburi atakapozikwa mwanamziki Maarufu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo maarufu kwa jina la Papa Wemba. Huu ni zaidi ya ufahari, lakini mimi naona...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dudu Baya: Maisha ya umaarufu magumu sana, nashindwa kununua mihogo na vitumbua

Msanii Dudubaya amefunguka na kusema kuwa maisha ya kuwa maarufu ni magumu sana kwani kuna wakati unashindwa kufanya vitu ambavyo wewe unapenda kutokana na kuwa na umaarufu. Dudubaya kupitia kipindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shilole: Mimi ndiye mwanamuziki mrembo zaidi kwenye muziki

Shilole amejigamba kwa kudai kuwa hakuna msanii mzuri kama yeye, kwani ana uzuri wa asili bila vipodozi. Alikuwa akizungumza katika kipindi cha 5SELEKT cha EATV Jumanne hii. “Mimi ni mwanamke mzuri...

View Article

Ni kweli Davis Mosha kanunua Private Jet we Le Mutuz?

katika pita pita zangu huko instagram nikakuta William Malecela maarufu kama Lemutuz akimsifia tajiri Davis Mosha kwa kununua private jet Lakini kuna comment iliandikwa akaifuta haraka sana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Beyonce na Jay Z watengeneza kiasi cha Bilioni 375 kwa kuwadanganya Mashabiki...

Beyonce na Jay Z waliamua kufanya uamuzi wa pamoja wa kuzusha tetesi za kuachana kwa lengo la kutengeneza pesa. Uamuzi huo ulihusisha kuuza kopi nyingi za Album mpya ya Beyonce #Lemonide yenye nyimbo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kurudi Clouds Fm; Masudi Kipanya ajigamba, ni pesa tu!

Masoud Kipanya amerejea tena Clouds FM baada ya kupita muda mrefu takribani miaka minane tangu aondoke. Mchoraji huyo maarufu wa katuni ya Kipanya, anasikika kwenye kipindi cha asubuhi cha Power...

View Article

Joyce Kiria na akaunti yake ya Facebook

Nimejaribu kupitia post za hii akaunti ya mtu anayejiita Joyce Kiria kwenye facebook lakini hizi post zinanipa wasiwasi kama kweli ni yeye kapost au ni mahasimu wake. Ili kama si yeye anayepost kwenye...

View Article


Harmonise "Bado" vs Raymond "Kwetu".. ipi kali.. tumalize ubishi

Tufahamu hapa.. maana huku mtaani watu hadi wanashikana mashati. Ipi ngoma kali hapo na nani kamfunika mwenzie ktk tungo, beat, video, swag, sauti.. n.k. tumalize ubishi hapa. Mimi kura yangu kwa RAYMOND.

View Article

Jeuri ya Pesa: Bondia Floyd MayWeather achoma dola hadharani

View attachment 344104 View attachment 344105 Bondia mwenye jeuri ya pesa Mayweather amechoma pesa hadharani $100 kwa kiberiti,mbele ya wapqmbe wake huku akishangiliwa na wapambe Pembeni akiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Roma: Nimechagua maisha ya Shida

Nyota wa muziki wa Rap Bongo ‘Rhymes Of Magic Attraction’ Roma amethibitisha fununu za kuwa muziki anaoufanya umekua ni msalaba mzito kwenye maisha yake. Akizungumza na eNewz Roma alisema kuwa hayo...

View Article

Sebo wa E. FM mbona hasikiki kwenye joto la asubuhi? Kuna tetesi kasepa ni...

Kuna tetesi kuwa sebo hakufurahishwa na ujio wa gerad hando na pj pale E. fm na kuona atafunikwa kwenye kipindi cha joto la asubuh akaamua kusepa hizi tetes ni za kweli? au ni stori za kitaa?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kingwendu kujikita zaidi kwenye muziki, sasa asaka meneja

Msanii wa vichekesho na muimbaji, Kingwendu amesema angependa kuwa na msimamizi wa shughuli zake katika sanaa ya muziki ili aweze kutoka badala ya kutegemea uchekeshaji peke yake. Msanii wa vichekesho...

View Article
Browsing all 12682 articles
Browse latest View live