Quantcast
Channel: Celebrities Forum
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12682

Diamond achaguliwa tena kuwania tuzo za BET kipengele cha Best International Act Africa

$
0
0
[​IMG]


Mwanamuziki Nasibu Abdul maarufu Diamond Platnumz amekuwa ni msanii pekee kutoka ukanda wa Afrika Mashariki kutajwa katika orodha ya wasanii watakaowania tuzo za BET 2016.

Tuzo za BET mwaka huu zitafanyika Juni 26 katika ukumbi wa Microsoft Theater ulioko Los Angeles Marekani. Hapa chini ni orodha kamili ya wasanii waliotajwa kushiriki na tuzo wananzowania.

Best International Act Africa

AKA (SOUTH...

Diamond achaguliwa tena kuwania tuzo za BET kipengele cha Best International Act Africa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 12682

Latest Images

Trending Articles



Latest Images