Mtangazaji wa diva kupitia twitter
View attachment 345989
View attachment 345990
Amembana mbavu Naibu Waziri Dr. Kigwangalla baada ya kulitolea tamko suala la Lady Jaydee na Gadner.
Ikumbukwe kwenye kipindi cha XXL, Diamond Platnumz alimwambia Diva live akiwa hewani kuwa dawa yake ni kumkaza.
Waziri pia alijitetea suala la wabunge wa UKAWA kuitwa baby hakuzungumza kwasababu suala mambo ya bunge yanaishia bungeni.
Amembana mbavu Naibu Waziri Dr. Kigwangalla baada ya kulitolea tamko suala la Lady Jaydee na Gadner.
Ikumbukwe kwenye kipindi cha XXL, Diamond Platnumz alimwambia Diva live akiwa hewani kuwa dawa yake ni kumkaza.
Waziri pia alijitetea suala la wabunge wa UKAWA kuitwa baby hakuzungumza kwasababu suala mambo ya bunge yanaishia bungeni.