Anaitwa Swabrina Ghalibu huyu atakuwa ni msichana wa kwanza kabisa kufanya kazi Mortuary akiwa na Umri mdogo ana Miaka 19
Atakuwa anatunza miili ya binadamu Mortuary na kuifanyia kila Taratibu zote.....Wakati akina dada wengine waki jimwaya mwaya Instagram na Facebook huku hawana Kazi yeye atakuwa anafanya kazi hiyo ambayo itakuwa inamuingizia pesa Nzuri tuu
Ni kazi ambayo haina ushindani hivyo ukiomba ni rahisi kupata
Kwa nijuavyo mimi kazi ya huyo dogo itakuwa kukusanya miili hiyo toka...
Swabrina Ghalibu Msichana wa kwanza Mdogo kufanya kazi Mortuary
Atakuwa anatunza miili ya binadamu Mortuary na kuifanyia kila Taratibu zote.....Wakati akina dada wengine waki jimwaya mwaya Instagram na Facebook huku hawana Kazi yeye atakuwa anafanya kazi hiyo ambayo itakuwa inamuingizia pesa Nzuri tuu
Ni kazi ambayo haina ushindani hivyo ukiomba ni rahisi kupata
Kwa nijuavyo mimi kazi ya huyo dogo itakuwa kukusanya miili hiyo toka...
Swabrina Ghalibu Msichana wa kwanza Mdogo kufanya kazi Mortuary