Quantcast
Channel: Celebrities Forum
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12682

Wanaopokea likes nyingi kwenye mitandao sasa kuoga mapesa

$
0
0
Wamiliki wa mitandao ya kijamii,
ambao wana followers wengi na hivyo kujipatia LIKES za kutosha
wataanza kulipwa kwa kila LIKE
wanayopata.

Thamani ya LIKE moja inaanzia Tsh 2/- hadi Tsh 10/-

Katika mfumo huu unaoitwa Pay Per Like(PPL),itamlazimu mmiliki wa mtandao wa kijamii kuweka tangazo la kibiashara katika ukurasa wake,hivyo kiasi cha likes kitakacho patikana baada ya kuweka tangazo hilo ndicho ambacho mmiliki wa ukurasa huo atalipwa.

Mtandao wa nijuze.co.tz utaanzisha program hii...

Wanaopokea likes nyingi kwenye mitandao sasa kuoga mapesa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 12682

Trending Articles